Makamu wa Rais, Dkt. Phillip Mpango (katikati) akikata utepe ikiwa ni ishara ya kukabidhi magari 18 na pikipiki 20 kwa Shirika la Posta Tanzania (TPC) kwa ajili ya kuboresha huduma za shirika hilo. Tukio hilo lilifanyika wakati wa kuhitimisha maadhimisho ya Wiki ya Posta Duniani lililofanyika kitaifa katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WHMTH) Dkt. Ashatu Kijaji na kulia kwake ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dkt. Zainab Chaula.
Dkt Mpango akishuka kutoka kwenye gari hilo.
Baadhi ya pikipiki zilizokabidhiwa kwa TPC kwa ajili ya kuboresha huduma ya shirika hilo.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...