Eneo kubwa la kutoa huduma ya vyakula, vinywaji, burudani, na mapumziko ya jioni; lenye upepo mwanana unaotoka bahari ya Hindi linakodishwa. Eneo ni kubwa lenye sehemu ya kuweka jiko la kisasa, Bar, lounge pamoja na maeneo ya kufanyia mazungumzo ya kibiashara.

Eneo lipo pembeni mwa jengo maarufu la Hugo House liliongezewa ubora na nakuwa na muonekano wa kisasa, picha hiyo hapo juu. Wasiliana na Uongozi wa Hugo House kwa namba zifuatazo:

0712 054 327
0713 465 336
0713 27 2202

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...