Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,Hemed Suleiman Abdulla akisisitiza jambo wakati akitoa hotuba katika Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yaliofanyika Kitope Mkoa wa Kaskazini B Unguja.Ambapo Ujumbe wa mwaka huu ni “Matumizi sahihi ya kidigitali kwa Ustawi wa Rika Zote”.
PICHA NA YUSSUF SIMAI/MAELEZO ZANZIBAR
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,Hemed Suleiman Abdulla(wakwanza
kushoto)akipata maelezo kutoka kwa Mratibu wa Jumuiya ya Wastaafu na
Wazee Zanzibar Ghanima Othman Juma wakati alipotembelea Banda lao katika
Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yaliofanyika Kitope Mkoa wa
Kaskazini B Unguja.Ambapo Ujumbe wa mwaka huu ni “Matumizi sahihi ya
kidigitali kwa Ustawi wa Rika Zote”
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,Hemed Suleiman Abdulla akiwapungia
Mkono Wazee na Wageni waalikwa waliohudhuria katika Maadhimisho ya Siku
ya Wazee Duniani yaliofanyika Kitope Mkoa wa Kaskazini B Unguja.Ambapo
Ujumbe wa mwaka huu ni “Matumizi sahihi ya kidigitali kwa Ustawi wa Rika
Zote”.
Baadhi
ya Wazee na Wageni waalikwa waliohudhuria katika Maadhimisho ya Siku ya
Wazee Duniani yaliofanyika Kitope Mkoa wa Kaskazini B Unguja.Ambapo
Ujumbe wa mwaka huu ni “Matumizi sahihi ya kidigitali kwa Ustawi wa Rika
Zote”.
Waziri
wa Afya Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Nassor Ahmed Mazrui
akitoa hotuba ya makaribisho kwa Mgeni Rasmi katika Maadhimisho ya Siku
ya Wazee Duniani yaliofanyika Kitope Mkoa wa Kaskazini B Unguja.Ambapo
Ujumbe wa mwaka huu ni “Matumizi sahihi ya kidigitali kwa Ustawi wa Rika
Zote”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...