Witness Patrick (kushoto), Meneja wa Mfuko wa Taifa wa  Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkoa wa  Pwani akimsikiliza na kumuhudumia mmoja ya wanachama waliofika kupata huduma wakati wa wiki ya huduma kwa wateja ikiendelea
 
Robert Kadege,Meneja huduma kwa wateja, Mfukowa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) akimhudumia mmoja wa  wanachama ambaye  alifika katika ofisi ya NSSF Mkoa wa Pwani wakati wa wiki ya huduma kwa wateja

Hawa Kitogo Afisa Mafao Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mkoa wa Pwani akimsaidia mmoja wa wanachama kujaza fomu alipofika ofisi ya NSSF Mkoa wa  Pwani kufungua madai wakati wa wiki ya huduma kwa wateja

Mahfudh Mkekena (Kushoto),Afisa Mafao, Mfuko wa Taifa  wa Hifadhi ya Jamii NSSF, Mkoa wa Pwani akimpa elimu mmoja wa wanachama namna ya kuweza kuanza hatua za kufungua madai yake wakati wa  wiki ya Huduma kwa wateja
  Picha ya Pamoja

Picha ya Pamoja

Picha ya Pamoja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...