Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk .Hussein Ali Mwinyi ( kushoto) akteta na Viongozi wa Dini baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa Iliyoswaliwa leo Masjid Jamiu Zinjibar mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar.[Picha na Ikulu]01/10/2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk .Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia) akiitikia dua iliyoombwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (katikati) baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa Iliyoswaliwa leo Masjid Jamiu Zinjibar mazizini Nje ya Mji wa Zanzibar.[Picha na Ikulu]01/10/2021.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...