Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisitiza jambo wakati wa mazungumzo na ujumbe wa Uongozi wa Chuo cha Afrika College Of Insuarance & Social Protection unaoongozwa na Mwenyekiti Mtendaji wa Afrika College Of Insuarance & Social Protection Dr.Baghayo A.Saqware (wa pili kulia) walipofika kujitambulisha Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 27/10/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti Mtendaji wa Dr.Baghayo A.Saqware (wa pili kulia) akiwa na ujumbe wa Uongozi wa Chuo hicho walipofika kujitambulisha Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 27/10/2021.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti Mtendaji wa Afrika College Of Insuarance & Social Protection Dr.Baghayo A.Saqware (wa pili kulia) akiwa na ujumbe wa Uongozi wa Chuo hicho walipofika kujitambulisha Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 27/10/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kulia) alipokuwa akiagana na Viongozi wa Chuo cha Afrika College Of Insuarance & Social Protection uliongozwa na Mwenyekiti Mtendaji wa Afrika College Of Insuarance & Social Protection Dr.Baghayo A.Saqware (kulia) mara baada ya mazungumzo na kujitambulisha walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo.[Picha na Ikulu] 27/10/2021.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...