Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Adam Malima (katikati) akizungumza na Kanali Khaji Mtengela (kulia kwake) akifuatiwa na Kanali Karimu Machake kutoka Chuo  Ukamanda na Unadhimu Duluti, kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Pili Mnyema.

Wakuu wameongoza  ujumbe wa wanafunzi 53 wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu kwa ajili ya ziara ya kimafunzo ndani ya nchi jijini Tanga.

Wakiwa mkoani Tanga, wanafunzi hao kutoka nchi mbalimbali, watatembelea viwanda kikiwamo Kiwanda cha Saruji (Tanga Cement) na Kiwanda cha Maziwa (Tanga Fresh), Bandari ya Tanga na Bodi ya Mkonge ili kujionea mambo mbalimbali ikiwa ni sehemu ya mafunzo yao.


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...