Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akikata utepe akizindua taarifa ya hali ya uwajibikaji kifedha nchini ulioandaliwa na Taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (WAJIBU) tukio lililofanyika leo katika Hoteli ya Morena Jijini Dodoma, Oktoba 29, 2021, Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (WAJIBU), Bw. Ludovick Utouh


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akionyesha kitabu chenye taarifa ya hali ya uwajibikaji kifedha nchini baada ya uzinduzi ulioandaliwa na Taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (WAJIBU) tukio lililofanyika leo katika Hoteli ya Morena Jijini Dodoma, Oktoba 29, 2021, Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (WAJIBU), Bw. Ludovick Utouh

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...