Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akikata utepe akizindua taarifa ya hali ya uwajibikaji kifedha nchini ulioandaliwa na Taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (WAJIBU) tukio lililofanyika leo katika Hoteli ya Morena Jijini Dodoma, Oktoba 29, 2021, Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (WAJIBU), Bw. Ludovick Utouh

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akionyesha kitabu chenye taarifa ya hali ya uwajibikaji kifedha nchini baada ya uzinduzi ulioandaliwa na Taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (WAJIBU) tukio lililofanyika leo katika Hoteli ya Morena Jijini Dodoma, Oktoba 29, 2021, Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Uwajibikaji wa Umma (WAJIBU), Bw. Ludovick Utouh
(PICHA NA OFISI YA BUNGE)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...