Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania Plc, Alex Bitekeye (katikati) akitoa maelezo kwa spika wa Bunge Mheshimiwa Job Ndugai (kulia mwenye suti nyeusi) kuhusu huduma na bidhaa mbalimbali zinazotolewa na kampuni hiyo wakati alipotembelea banda la Vodacom kwenye maonesho ya wiki ya azaki iliyoanza jijini Dodoma mwishoni mwa wiki.
Mratibu wa mfumo wa kilimo kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania Plc Ezra Kangala (kushoto) akitoa maelezo kuhusu mfumo wa M-Kulima kwa spika wa Bunge Job Ndugai (kulia mwenye suti nyeusi) alipotembelea banda la kampuni hiyo kwenye maonesho ya wiki ya azaki iliyoanza jijini Dodoma mwishoni mwa wiki
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...