Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Dk. Rashid Chuachua akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Duka la Vodashop jijini Mbeya ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja. Ufunguzi wa duka hilo ni moja ya mikakati ya Vodacom Tanzania Plc kuhakikisha inaleta huduma karibu na wateja wake. Kulia ni Mkurugenzi wa Biashara Vodacom Tanzania Plc Linda Riwa, Mkuu wa mauzo wa Kampuni hiyo Nyanda za juu Kusini Ezekiel Nungwi (mwenye shati jeupe) na kushoto ni Diwani wa kata ya Sisimba Josephine Qamunga.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...