SERIKALI imetoa maagizo 11 kwa waajiri wa umma wote nchini kufuatia kubainika kwa changamoto mbalimbali kwa watumishi wa umma ikiwemo kanuni na taratibu za kiutumishi, Maafisa mipango kutosimamia miradi ya kimkakati ipasavyo, upungufu wa watumishi pamoja na watumishi kutopandishwa madaraja.

Maagizo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala, Mohamed Mchengerwa wakati alipokua akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma.

Waziri Mchengerwa ameyataja maagizo hayo kuwa ni pamoja na waajiri kuendelea kushughulikia watumishi wenye sifa za kupandishwa cheo kwa kuwatengea bajeti katika mwaka wa fedha ujao, kushughulikia malipo ya stahiki mbalimbali za watumishi


 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Mtumba jijini Dodoma leo.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...