Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) sheria ya kudhibiti silaha na risasi ya Mwaka 2015, Sura ya 223, baada ya kutangaza msamaha na usalimishaji wa silaha kwa wamiliki wa silaha kinyume na sheria, jijini Dodoma, leo. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Ramadhani Kailima. Ametoa siku 30 kwa wamiliki haramu wa silaha hizo kuzisalimisha katika vituo vya polisi, ofisi za Serikali za Mitaa na kwa Watendaji wa Kata. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.




Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akizungumza na waandishi jijini Dodoma, leo Oktoba 30, 2021, kuhusu msamaha na usalimishaji wa silaha kwa wamiliki wa silaha kinyume na sheria. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Ramadhani Kailima. Ametoa siku 30 kwa wamiliki haramu wa silaha hizo kuzisalimisha katika vituo vya polisi, ofisi za serikali za Mitaa na kwa watendaji wa Kata. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto) akisalimiana na Kamishna wa Utawala na Fedha wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mbaraka Semwanza, wakati alipokuwa anawasili kuzungumza na waandishi wa Habari, jijini Dodoma, leo. Katikati ni naibu katibu Mkuu, ramadhani kailima, wapili kulia ni Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo, Lebaratus Sabas. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.



Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia) akimsikiliza Kamishna wa Polisi wa Operesheni na Mafunzo, Lebaratus Sabas katika kikao na waandishi wa habari kilichifanyika jijini Dodoma, leo. Ametoa siku 30 kwa wamiliki haramu wa silaha hizo kuzisalimisha katika vituo vya polisi, ofisi za Serikali za Mitaa na kwa Watendaji wa Kata. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...