Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Bi Kate Somvongsiri akisoma hotuba yake kwenye Maonesho ya zana za Kidigitali ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Bi. Anna Henga, akitoa mada kwenye Maonesho ya zana za Kidigitali ya siku 16 ya kupinga ukatili wa kijinsia, uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam.ambapo ameahidi kuendelea kutoa elimu kwa jamii Jambo ambalo litapelekea kuwepo kwa matokeo chanya.Mkuu wa Kitengo Cha Sheria - Sheria Kiganjani,Neema Magimba akitoa maelezo kwa mgeni rasmi namna mfumo wa Sheria Kiganjani unavyofanya kazi kwenye Maonesho ya zana za Kidigitali ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Wakili Bi. Anna Henga (kulia) akikabidhi zawadi kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Bi Kate Somvongsiri kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) Bi Kate Somvongsiri akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa Maonesho ya zana za Kidigitali ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, uliofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam.Wafanyakazi wa Kitengo cha Sheria Kiganjani wakiwa kwenye picha ya pamoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...