Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi Mratibu wa Kifimbo cha Malkia (Queen’s Baton Relay) hapa nchini Bw. Hanry Tandau, kama ishara ya uzinduzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola, wakati kilipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na viongozi mbalimbali wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo mara baada ya kupokea Kifimbo cha Malkia (Queen’s Baton Relay) chenye ishara ya uzinduzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola, wakati kifimbo hicho kilipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Novemba, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo mara baada ya kupokea Kifimbo cha Malkia (Queen’s Baton Relay) chenye ishara ya uzinduzi wa michezo ya Jumuiya ya Madola, wakati kifimbo hicho kilipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam leo tarehe 13 Novemba, 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...