Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc Alex Bitekeye akimkaribisha mkuu wa wilaya ya Kisarawe Nickson Simon kuhudhuria hafla ya Uwezo Award Ceremony 2021 ambapo taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation ilidhamini hafla hiyo yenye lengo la kuwahamasisha vijana kuonyesha vipaji vyao.
Meneja Uhusiano wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc Alex Bitekeye akimkaribisha mkuu wa wilaya ya Kisarawe Nickson Simon kuhudhuria hafla ya Uwezo Award Ceremony 2021 ambapo taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation ilidhamini hafla hiyo yenye lengo la kuwahamasisha vijana kuonyesha vipaji vyao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...