*Meridianbet Tunakupatia Odds Bora Wikiendi Hii Ukiwa Unafurahia
Sikukuu!
KWA wapenzi wa soka, burudani ndio
kwanza inaanza, sikukuu inanoga zaidi ukiwa unautizama mkeka wako unavyokuletea
faida ndani ya dakika 90. Hii ndio nyumba ya mabingwa, Meridianbet!
Jumapili hii, Manchester City watawaalika Leicester City katika
ungwe ya pili ya msimu wa EPL, 2021/22. Safari ya ubingwa inaanza kushika kasi,
ni Pep Guardiola vs Brendan Rogers, hakuna kisingizio, timu zote zina idadi ya
wachezaji wanaotosha mtanange huu kutoa burudani ya kiwango cha juu. Meridianbet tunaenda pamoja nawe, ifuate Odds
ya 1.22 kwa Man City.
Kule nchini Uturuki, Super Lig itaendelea kwa mtanange mkali
kati ya Trabzonspor vs Instanbul Basaksehir. Timu
hizi zinapambana kuwania ubingwa msimu huu, kila mmoja anahitaji pointi 3
muhimu lakini, mpira ni uwanjani, dakika 90 zitaamua. Odds ya 2.06 imewekwa kwa Trabzonspor kupitia
Meridianbet.
Baada ya takribani wiki 2 kupita bila
kuingia uwanjani, Manchester United watasafiri kuwafuata
Newcastle United jumatatu wiki ijayo. Naam!! Unatoka kufungua
zawadi na sasa, unaingia kutengeneza faida ya wiki kuelekea Mwaka Mpya. Ralf
Rangnick vs Eddie Howe pale St. James’ Park, ifuate Odds ya 1.47 kwa Man United kunako
Meridianbet.
Kwenye Championship, QPR uso kwa uso na Bournemouth. Japokuwa
kirusi cha Variant Omicron kinaendelea kuwa tatizo duniani, baadhi ya timu
zinaweza kuendelea na michezo yake. Safari ya kucheza EPL msimu ujao, ndio
kiburudisho kikubwa kwenye Ligi ya Championship. Fursa yako ipo kwenye Odds ya 2.42 kwa
Meridianbet.
Meridianbet
– Nyumba Yenye Odds Bora na Bonasi Kubwa!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...