Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro Disemba 3, 2021 ameongoza kikao cha Utendaji kazi cha Maofisa Wakuu wa Makao Makuu ya Polisi jijini Dodoma, kujadili utendaji wa kazi za Jeshi hilo, kufanya tathmini ya mafanikio yaliyopatikana, changamoto kwa kipindi kilichopita na kuweka mikakati ya kutekeleza kazi za Polisi kwa ufanisi katika kulinda usalama wa raia na mali zao.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP) Simon Sirro Disemba 3, 2021 ameongoza kikao cha Utendaji kazi cha Maofisa Wakuu wa Makao Makuu ya Polisi jijini Dodoma, kujadili utendaji wa kazi za Jeshi hilo, kufanya tathmini ya mafanikio yaliyopatikana, changamoto kwa kipindi kilichopita na kuweka mikakati ya kutekeleza kazi za Polisi kwa ufanisi katika kulinda usalama wa raia na mali zao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...