Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo (kulia) akiteta jambo na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. GOTO Shinichi wakati wa sherehe ya ufunguzi wa barabara ya Morocco-Mwenge yenye urefu wa kilomita 4.3 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na zimefanyika kwenye viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama mkoani Dar es Salaam. (Picha na CCM Makao Makuu)

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Daniel Chongolo (kulia) akiteta jambo na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. GOTO Shinichi wakati wa sherehe ya ufunguzi wa barabara ya Morocco-Mwenge yenye urefu wa kilomita 4.3 ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Mhe. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Tanzania na zimefanyika kwenye viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii, Kijitonyama mkoani Dar es Salaam. (Picha na CCM Makao Makuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...