Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato (mwenye suti ya Bluu) akikagua miundombinu ya kupokelea mafuta Kurasini na Kigamboni, Jijini Dar es salaam kwa Lengo na kuona utendaji kazi katika eneo hilo


Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato( mwenye suti ya Bluu) akikagua mifumo ya Kompyuta inavyofanya kazi katika eneo la kupokelea mafuta Kurasini na Kigamboni Jijini, Dar es salaam, wakati wa ziara yake ya kuona utendaji kazi katika eneo hilo


Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato (mwenye suti ya Bluu) akipata maelezo katika meli iliyokuwa inapakua katika eneo la Kurasini( KOJ), Jijini Dar es salaam, wakati wa ziara yake ya kuona utendaji kazi katika eneo hilo

…………………………………………………………….

Naibu Waziri wa Nishati, Wakili Stephen Byabato amefanya ziara ya kukagua miundombinu ya kupokelea mafuta iliyoko Kigamboni na Kurasini (KOJ) Jijini Dar es Salaam. Lengo likiwa ni kuona utendaji kazi katika eneo hilo.

Wakili Byabato amefanya ziara hiyo Desemba 17, 2021 akiambatana na Uongozi wa Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja( PBPA) na Maafisa kutoka Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...