Mbunge wa Bunge la Tanzania, Mhe. Anatropia Theonest (aliyepo mbele) akishangilia mara baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya mbio za mita 1500 katika michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayoendelea Jijini Arusha.

  

Mbunge wa Bunge la Tanzania, Mhe. Francis Mtinga  (aliyepo mbele) akishiriki katika shindano la mbio za mita 100 pamoja na Wabunge wengine katika michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayoendelea Jijini Arusha.

 

PICHA NA BUNGE

Mbunge wa Bunge la Tanzania, Mhe. Condester Sichalwe (aliyepo mbele) akishiriki katika shindano la mbio za mita 100 pamoja na Wabunge wengine katika michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayoendelea Jijini Arusha.
 Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson (wa mwisho) pamoja na Wabunge wengine wakikimbia shidano la mbio za mita 1500 katika michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayoendelea Jijini Arusha.

Mbunge wa Bunge la Tanzania, Mhe. Jafari Chege (wa kwanza kushoto) akishiriki katika shindano la mbio za mita 100 katika michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki inayoendelea Jijini Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...