Mratibu wa taasisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia mazingira (UNEP) Clara Makenya (kushoto) akipokea mti wa matunda kutoka kwa Mkurugenzi wa taasisi ya Doris Mollel Foundation, Doris Mollel (kulia) mara baada kumalizika kwa semina iliyojadili namna ambavyo athari za mabadiliko ya tabianchi huchangia ongezeko la kuzaliwa kwa Watoto njiti, huku pia ikisababisha vifo vya akina mama wajawazito, kulia ni Meneja wa tasisi ya Vodacom Tanzania Foundation Sandra Oswald ambao ni wadau katika kusaidia juhudi za kuhifadhi mazingira na kusaidia juhudi za serikali katika sekta ya afya nchini.
Home
AFYA
Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na UNEP, UNICEF,Doris Mollel Foundation waangalia namna athari za mabadiliko ya tabianchi huchangia ongezeko la kuzaliwa kwa Watoto njiti nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...