Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald akikabidhi Tuzo ya kipengele cha Sayansi ya Kompyuta na Teknolojia (Technology and computer science) zilizoandaliwa na Young Scientists Tanzania (YST Awards ceremony 2021) kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Mzumbe Morogoro, Innocent Mamsery (kushoto) na Sylvester Mulungu (kulia) ambao walibuni mradi wa mfumo wa kufuatilia maendeleo ya wanafunzi kielimu (Academic Progress Analysis System). Vodacom Tanzania Foundation ni taasisi inayosaidia vumbuzi mbalimbali zitakazoipeleka Tanzania katika ulimwengu wa kidijitali.
Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald akikabidhi Tuzo ya kipengele cha Sayansi ya Kompyuta na Teknolojia (Technology and computer science) zilizoandaliwa na Young Scientists Tanzania (YST Awards ceremony 2021) kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Mzumbe Morogoro, Innocent Mamsery (kushoto) na Sylvester Mulungu (kulia) ambao walibuni mradi wa mfumo wa kufuatilia maendeleo ya wanafunzi kielimu (Academic Progress Analysis System). Vodacom Tanzania Foundation ni taasisi inayosaidia vumbuzi mbalimbali zitakazoipeleka Tanzania katika ulimwengu wa kidijitali.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...