Mkuu wa kitengo cha Mauzo, Usambazaji, Maduka na Huduma kwa wateja Vodacom Tanzania PLC, George Lugata akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)wakati wa uzinduzi wa huduma ya manunuzi ya simu janja kwa mkopo ambayo Vodacom Tanzania PLC kwa kushirikiana na D. Light inaleta wateja wake.huduma hiyo umelenga kutatua changamoto kubwa inayorudisha nyuma matumizi ya simu janja.
Lugata ametoa wito kwa wateja wote wa Vodacom kuchangamkia fursa katika msimu huu wa sikukuu kuhakikisha wanachangamkia fursa ya kupata au kumnunulia umpendaye simujanja ili afaidike na ulimwengu wa kidijitali leo jiji jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi wa D.Light Tanzania,Charles Natai akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu lengo kuu la kuwapa Watanzania wengi zaidi fursa ya kumiliki simujanja ili waweze kufaidika na huduma mbalimbali zinazopatikana kupitia mfumo wa kidijitali leo jijini Dar es Salaam.(kulia)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...