Mhasibu Mkuu wa Serikali, Leonard Mkude akimkabidhi  Mkurugenzi wa Fedha (ajaye) wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc Hilda Bujiku  tuzo ya mshindi wa kwanza kwa  uandaaji bora wa taarifa za Fedha kwa Mwaka 2020 (Best Presented Financial Statement for the Year 2020 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA). Kushoto kwa Hilda ni mkuu wa mipango na uwekezaji Albert Maneno.


 

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...