Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi. Robert Gabriel (katikati) akikata utepe wakati wa ufunguzi wa duka la kisasa la kampuni ya Vodacom  jijini Mwanza, duka hilo linaongeza idadi ya maduka ya kampuni hiyo yaliopo jijini humo kwa kuwarahisishia wateja wake kupata huduma kwa ukaribu hasa kipindi hiki cha sikukuu kwa ku "Show Love" kwa wapendanao kupitia promosheni ya "Tule Shangwe" na wateja kujishindia zawadi mbalimbali. Wengine ni  Mkurugenzi wa Biashara Vodacom Tanzania PLC, Linda Riwa {wapili kulia}, Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya Ziwa,  Ayubu Kalufya (kulia), na  Mkuu wa wilaya ya Ilemela, Hassan Masala (mwenye tai).


Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi. Robert Gabriel (kushoto) akikata keki wakati wa ufunguzi wa duka la kisasa la kampuni ya Vodacom jijini Mwanza, Katikati ni Mkurugenzi wa Biashara Vodacom Tanzania PLC, Linda Riwa na Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya.


Meneja wa duka la Vodacom tawi la kanda ya Ziwa, Jumeo Iddi (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel (kushoto),wakati wa ufunguzi wa duka la kisasa la Vodacom jijini Mwanza, na wapili kushoto ni Mkuu wa Mauzo Vodacom kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya.




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...