Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeendelea kutembelewa na wadau mbalimbali katika maonesho ya Sita (6) ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yanayofanyika kuanzia tarehe 03-09/12/2021 katika Viwanja vya Maisara Zanzibar. Maonesho hayo yanafanyika sambamba na maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara yatakayofika kileleni tarehe 09 Disemba 2021.
Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imeendelea kutembelewa na wadau mbalimbali katika maonesho ya Sita (6) ya Bidhaa za Viwanda vya Tanzania yanayofanyika kuanzia tarehe 03-09/12/2021 katika Viwanja vya Maisara Zanzibar. Maonesho hayo yanafanyika sambamba na maadhimisho ya Miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania bara yatakayofika kileleni tarehe 09 Disemba 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...