Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Mji wa Serikali chenye hadhi ya daraja A, Mtumba Jijini Dodoma, Desemba 2, 2021. Uzinduzi wa kituo hicho ni miongoni mwa matukio maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanzania. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, wa pili kushoto Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro, Kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Patrobas Katambi, wa pili kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Home
Unlabelled
WAZIRI MKUU AZINDUA UJENZI WA KITUO CHA POLISI DARAJA A, MTUMBA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...