Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kituo cha Polisi cha Mji wa Serikali chenye hadhi ya daraja A, Mtumba Jijini Dodoma, Desemba 2, 2021. Uzinduzi wa kituo hicho ni miongoni mwa matukio maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanzania. Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, wa pili kushoto Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro, Kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Patrobas Katambi, wa pili kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Jenista Mhagama (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...