BAADA
ya Miongo mingi ya Utayarishaji wa muziki, kurekodi, Na kupiga gitaa
katika Nyimbo nyingi Za wasanii wa Afrika, Fiokee ameuanza mwaka Kwa
kuachia Albamu yake “MAN”.
Ambapo
albamu hiyo amemshirikisha msanii kutoka Tanzania “MAUA SAMA pamoja na
Yemi Alade kutoka Nigeria Ni miongoni mwa wasanii walioshirikishwa.
MAN,
Fiokee amedhihirisha kuwa yeye tu sio mpiga gitaa bali anaweza kufanya
Vitu vingi ingawa pia Ni mtayarishaji mzuri wa muziki.
Albamu
hii ya Fiokee inaonyesha Ni kiasi gani Ana uwezo wa kutengeneza muziki
mzuri unaoweza kuishi, na ameitoa albamu hii Kama Zawadi kwa mashabiki
katika Huu mwaka anaotimiza miaka 40 ya kuzaliwa.
Pia unaweza kuisikiliza sasa kupitia Platforms zote zinazouza na kusikiliza muziki Duniani
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...