Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka kwa niaba ya wakuu wa mikoa 25 mfano wa ufunguo wa Pikipiki zilizotolewa kwaajili ya kazi za Maafisa Ugani katika Halmashauri 140 hapa nchini. Januari 17,2022

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Tamisemi, Mifugo pamoja na wahusika wa sekta ya mifugo nchini wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Washauri wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa (Tamisemi). Januari 17,2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Tamisemi, Mifugo pamoja na wahusika wa sekta ya mifugo nchini wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Washauri wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa (Tamisemi). Januari 17,2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akizungumza na Viongozi wa Wizara ya Tamisemi, Mifugo pamoja na wahusika wa sekta ya mifugo nchini wakati wa ufunguzi wa kikao kazi cha Washauri wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa (Tamisemi). Januari 17,2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa wizara za Mifugo na Uvuvi pamoja na Tamisemi mara baada ya kumaliza ufunguzi wa kikao kazi cha Washauri wa Mifugo wa Mikoa na Wakuu wa Idara za Mifugo na Uvuvi kutoka Mamlaka za Serikali za Mitaa (Tamisemi). Januari 17,2021.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akikata utepe wakati wa kukabidhi jumla ya pikipiki 300 kwaajili ya kazi za  maafisa ugani katika Halmshauri 140 hapa nchini. Januari 17,2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akijaribu moja ya pikipiki kati ya pikipiki 300 zilizotolewa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwaajili ya kazi za Maafisa Ugani katika Halmshauri 140 hapa nchini. Januari 17,2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akijaribu moja ya pikipiki kati ya pikipiki 300 zilizotolewa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwaajili ya kazi za  Maafisa Ugani katika Halmshauri 140 hapa nchini. Januari 17,2022.

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...