Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein Akiongoza kikao (Maalum) cha kamati Maalum ya Halmashauri kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo Jumapili tarehe 16 Januari, 2022 Afisi Kuu CCM Kisiwandui.

Wajumbe wakifuatilia Baadhi ya Nyaraka za Kikao Hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...