MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa, Mhe. Jacobs Casthom Mwambegele jana tarehe 11 Januari, 2022 amekabidhiwa ofisi na Mwenyekiti Mstaafu wa Tume Jaji Rufaa (Mst) Mhe. Semistocles Kaijage. Hafla hiyo fupi imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano uliopo katika Ofisi za Tume, Njedengwa Jijini Dodoma na kuhudhuriwa na Wajumbe, Menejimenti na Watumishi wa Tume.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...