Mkuu wa Mkoa wa Mara, MheAllySalum Hapi akimuonyesha Naibu Waziri waMambo ya Ndani ya NchiJumannne Saginiukarabati wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mara iliyopo Manispaa ya Musoma, leo Mkoani Mara.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani yaNchiJumanne Sagini akizungumza na Mkuuwa Mkoa wa MaraMhe. Ally Salum Hapikatika moja ya ziara zake katika ofisi ya Mkuuwa Mkoa huyo iliyopo  Manispaa ya Musomamkoani Mara leo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani yaNchiJumanne Sagini akizungumza na Mkuuwa Mkoa wa MaraMhe. Ally Salum Hapikatika moja ya ziara zake katika ofisi ya Mkuuwa Mkoa huyo iliyopo  Manispaa ya Musomamkoani Mara leo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani yaNchiJumanne Sagini amekutana naMwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoawa Mara, Samwel Kuboyepamoja na Wajumbe wa Halmashauri Kuu CCM, Marakatika ziara yake Mkoani hapo leo,amewaomba washirikiane ili kudhibiti uhalifuuliopo mkoani Mara.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani yaNchiJumanne Sagini akizungumza naWakuu wa Idara wa Halmashauri ya Wilayaya Butiama pamoja na Kamati ya Ulinzi naUsalama ya Wilaya ya Butiama leokatikamoja ya ziara yake Mkoani Mara.
 

Na Mwandishi wetu.


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya NchiJumanne A. Sagini amefanya ziara mkoani Mara kwa kutembelea Ofisi ya Mkuu wa MkoaOfisi zaChama chMapinduzi Mkoa wa Mara pamoja nakukutana na Kamati ya Ulinzi na Usalama jimbonikwake Butiama.


Akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mhe. Ali Salum Hapi na Kamati ya Ulinzi naUsalama ya Mkoa huoSagini amesema kuwakwa nafasi yake ya Naibu Waziri wa Mambo yaNdani ya Nchijukumu lake kubwa ni kuhakikishausalama na amani ya nchiAmeitaka Kamati yaUlinzi na Usalama kuendelea kushirikianakudhibiti uhalifu unaojitokeza.


Naibu Waziri Sagini aliyasema hayo jana, 21 Januari 2022 alipotembelea Ofisi ya Mkuu waMkoa wa Mara, Wilaya ya Musomamkoani Mara katika moja ya ziara yake.


Moja ya changamoto ninayolenga kuidhibiti nimatukio ya uhalifu yanayojitokeza mara kwa maraMkoani Mara na nchini kwa ujumlahivyo navitakavyombo vya usalama kuongeza nguvu zaidikutokomeza matukio hayo.


Aidha Naibu Waziri Sagini ameshangazwa nakauli za baadhi ya wananchi wanaosema uhalifuutarudi kwa kasi kwasababu ya mawaziri wapyawa Mambo ya Ndani ya NchiAnasema IGP hajabadilishwaMakamanda wa Polisi Nchi nzimani wale walesasa uhalifu utaongezeka kivipi?


“ Kuna maneno yanayosemwa kwamba uhalifuutarudi kwa kasi sasa hivinaomba niwatoe hofukwani IGP ni yule YuleMakamanda wa Polisi niwale waleamani na usalama wa nchi utazidikuimarika 


Naye Mkuu wa Mkoa wa Mara, Mh, Ally SalumHapi amefurahia kwa ujio wake na kuahidi kutoaushirikiano unaohitajika katika kila sekta navyombo vya usalama vilivyomo katika Wizara yaMambo ya Ndani ya Nchi kwenye Mkoa wake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...