Daktari bingwa wa mifupa ambaye pia ni Mkufunzi kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergency Medicine Services Academy - EMSA) Sylvester Faya akiwafundisha washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya jinsi ya kumuhudumia mgonjwa  wa dharura na mahututi inayofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Washiriki wa mafunzo hayo ni waganga na wauguzi wafawidhi kutoka hospitali mbalimbali hapa nchini.
Washiriki wa  mafunzo  ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa  wa dharura na mahututi iliyoandaliwa na  kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergency Medicine Services Academy - EMSA) inayofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam wakijifunza kwa vitendo jinsi ya kuwahudumia wagonjwa hao . Washiriki wa mafunzo hayo ya siku mbili ni waganga na wauguzi wafawidhi kutoka hospitali mbalimbali hapa nchini.

Picha na JKCI

Daktari bingwa wa mifupa ambaye pia ni Mkufunzi kutoka kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergency Medicine Services Academy - EMSA) Sylvester Faya akiwafundisha washiriki wa mafunzo ya siku mbili ya jinsi ya kumuhudumia mgonjwa  wa dharura na mahututi inayofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Washiriki wa mafunzo hayo ni waganga na wauguzi wafawidhi kutoka hospitali mbalimbali hapa nchini.


Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akifungua mafunzo ya jinsi ya kuwahudumia wagonjwa  wa dharura na mahututi iliyoandaliwa na  kituo cha mafunzo cha tiba na huduma za dharura (Emergency Medicine Services Academy - EMSA) inayofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Washiriki wa mafunzo hayo ni waganga na wauguzi wafawidhi kutoka hospitali mbalimbali hapa nchini.

 
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...