Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye akikabidhi cheti cha kutambua mchango wa kampuni ya Vodacom katika kupunguza mgawanyiko wa kidijitali nchini kwa Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo, Sitholizwe Mdlalose wakati wa kongamano la Bridging the digital divide lilioandaliwa na Mwananchi Communication Ltd na kudhamiwa na Vodacom Tanzania. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communication Ltd, Bakari Mwachumu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Sitholizwe Mdlalose akizungumza na hadhira kwenye kongamano la Bridging the digital divide lililofanyika jijini Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...