Waziri wa Habari,  Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,  Nape Nnauye akikabidhi cheti cha kutambua mchango wa kampuni ya Vodacom katika kupunguza mgawanyiko wa kidijitali nchini kwa  Mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo,  Sitholizwe Mdlalose wakati wa kongamano la Bridging the digital divide lilioandaliwa na Mwananchi Communication Ltd  na kudhamiwa na Vodacom Tanzania.  Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communication Ltd,  Bakari Mwachumu.

Waziri wa Habari,  Mawasiliano na Teknolojia ya Habari,  Nape Nnauye (watano kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na  Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Vodacom,  Sitholizwe Mdlalose (watatu kulia), Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communication Ltd , Bakari Mwachumu (wanne kulia), Mwenyekiti wa bodi MCL, Leonard Mususa (watano kushoto),  na waendesha mada (Panelists) wakati wa  kongamano la Bridging the digital divide lilioandaliwa na Mwananchi Communication Ltd  na kudhamiwa na Vodacom Tanzania.

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC,  Sitholizwe Mdlalose akizungumza na hadhira kwenye kongamano la Bridging the digital divide lililofanyika jijini Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...