Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia), akizungumza na Balozi wa Marekani Nchini, Dkt. Donald Wright kuhusu masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Marekani. Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam,


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia), akimsikiliza Balozi wa Marekani Nchini, Dkt. Donald Wright alipokuwa akizungumzia masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Marekani. Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam,

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia), wakipongezana na Balozi wa Marekani Nchini, Dkt. Donald Wright baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika jijini Dar es Salaam

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Marekani Nchini, Dkt. Donald Wright baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, leo. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...