Katibu Mkuu Wizara ya Afya , Ustawi wa Jamii,Wazee Jinsia na Watoto Dkt. Fatma Mrisho (Katikati), akipokea kwa furaha namba ya Gari ikiwa ni ishara ya kupokea msaada wa gari iliyotolewa na Shirika la Usaid Global Health Supply Chain Tanzania (GHSC-TZ), kwa ajili ya usambazaji wa Vifaa tiba Katika Hospitali mbali mbali, kushoto ni Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Mavere Tukai, hafla iliyofanyika Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar.
(PICHA NA MARYAM KIDIKO – MAELEZO)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...