Mjumbe mpya wa Kamati Kuu ya CCM, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Dkt. Tulia Ackson (kulia) akizungumza na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zubeir Ali Maulid muda mfupi kabla ya kuanza kwa kikao maalum cha Kamati Kuu ya CCM katika ukumbi wa White House, CCM Makao Makuu jijini Dodoma.


 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...