Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini, Mhe. Manfredo Fanti katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam. Viongozi hao pamoja na mambo mengine, wamejadili kuhusu kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Umoja wa Ulaya
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) hapa nchini, Mhe. Manfredo Fanti katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam. Viongozi hao pamoja na mambo mengine, wamejadili kuhusu kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na Umoja wa Ulaya
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...