Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga    (katikati  ) akizungumza  kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Hamza Johari  wakati wa hafla ya kuwatunuku   vyeti wahitimu wa  Mafunzo ya Ndege nyuki ‘Drone’   yanayotolewa na  Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) kwa kutumia wataalam wa ndani
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC), John Ndimbo akizungumzia namna walivyoweza kutoa mafunzo kwa kutumia wataalam wa ndani waliofanikisha watahiniwa wa mafunzo ya Ndege nyuki ‘Drone’ kusoma bila tatizo lolote na kuhitimishwa leo na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga  aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa TCAA Hamza Johari .
Baadhi ya wahitimu wa Mafunzo ya  uendeshaji Ndege nyuki ‘Drone’ wakimsikiliza  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga wakati wa kufunga mafunzo yaliyokuwa yanatolewa na wataalam wa ndani yaliyoanza kufanyika toka tarehe 17 Januari hadi tarehe 11 mwezi Februari mwaka 2022 yanayotolewa na  Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) wakati wa hafla ya mahafali ya wanafunzi hao yaliyofanyika TCAA jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga    (Kulia) akiwatunuku wahitimu wa mafunzo ya urubani wa Ndege nyuki (Drone) wakati wa mahafali yaliyofanyika katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC) leo Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania ( TCAA), Daniel Malanga   akiwa kwenye picha ya pamoja na wahitimu wa mafunzo ya urubani wa Ndege nyuki (Drone)  wakati wa mahafali ya sita na mahafali ya kwanza kwa kutumia wakufunzi wa ndani yaliyofanyika katika Chuo cha Usafiri wa Anga Tanzania (CATC)  TCAA jijini Dar es Salaam.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...