Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiagana na viongozi mbalimbali wakati akiondoka katika uwanja wa ndege wa Dodoma kuelekea Addis Ababa Nchini Ethiopia kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) utakaofanyika tarehe 5 na 6 Februari 2022. Februari 4,2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiagana na viongozi mbalimbali wakati akiondoka katika uwanja wa ndege wa Dodoma kuelekea Addis Ababa Nchini Ethiopia kumuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa 35 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) utakaofanyika tarehe 5 na 6 Februari 2022. Februari 4,2022.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...