DUNIA hii imezungukwa na magonjwa mbalimbali,na kila ugonjwa una changamoto nyingi kwa mwili wa Binadamu.Baadhi ya watu wakipata magonjwa yanayojiusisha na zinaa basi uficha kabisa.

Wanaficha ili watu wa karibu yake  wasiweze tambua hali ya kuwa unaweza pata ugonjwa huo bira kushiriki hata tendo la ndoa,kwa sababu kila ugonjwa una njia zaidi ya moja kuweza kuenea haswa ugonjwa wa UKIMWI,Kisonono na Kaswende.

Mmoja wa kijana anayetambulika Jerida amezungumza kwa kina kuhusu namna alivyopata ugonjwa wa Kisosono akiwa na umri wa miaka 25. "Sikuweza tambua kwa haraka sana kuwa nina ugonjwa huu kwa sababu ni ugonjwa ambao hutoa dalili zake taratibu sana.

"Hivyo kadri siku zilivyokuwa zinaenda nilianza kusikia harufu mbaya kutoka sehemu yangu za siri,kwa haraka nikahisi kuwa labda sipitishi maji vizuri haswa nikimaliza kujisaidia haja ndogo.Pia nikapunguza matumizi ya toilet paper haswa nikienda haja ndogo zaidi na nikaanza  kutumia maji tu.

"Baada ya siku kadhaa kupita nikaanza kuumia haswa nikishiriki tendo la ndoa na boyfriend wangu hali ya kuwa nimeishi nae kwa miaka miwili na sikuwa nikipata maumivu kama yale.Boyfriend wangu yeye mwenyewe alianza kusitisha kushiriki tendo la ndoa kutokana na harufu ambayo ilikuwa ikitoka haswa tukifanya hilo tendo,"anaeleza.

Anaongeza hivyo ilifikia hatua wanaweza kukaa siku 10 bila  kugusana kimwili, kwa upande wake alikuwa anaumia sana kuona anashindwa kumpatia mpendwa wangu kitu akipendacho.Kwa upande mwingine alikuwa anawaza huenda akampoteza muda wowote.

Hata hivyo baada ya kuona hizo dalili aliamua kwenda Kituo cha afya kilichokuwa karibu na alipopimwa akaambiwa ana Kisonono,hivyo alipewa dawa ya kutumia."Sikuishia hapo niliamua kwenda duka la nguo kwa ajili ya kununua nguo za ndani mpya ili nisiwe narudia kuvaa.Wakati huo nilikuwa naendelea na zile dawa kwa siku 14 na hali ilibadilika kidogo,maumivu yalipungua na harufu ikaacha."

Baada ya mwezi mmoja kupita tangu alipomaiza kutumia dawa alizopewa kituo cha afya hali ilianza kujirudia kwa kasi kubwa zaidi, Sehemu yake  ya siri ikaanza kutoa uchafu usiotambulika,harufu ikazidi zaidi kiasi kwamba akikaa karibu na mtu kwa mda mrefu bila kubana mapaja yake basi harufu inatoka.

Kwa Siku nilikuwa nabadirisha nguo ya ndani mara tatu hali ambayo ilinikosesha amani ya kwenda kazini au sehemu yoyote yenye mkusanyiko wa watu zaidi ya wawili lakini jitiada hizo zote hazikuweza kuzaa matunda.

"Kila mara nilikuwa nameza dawa,ikafikia hatua nikakatazwa baadhi ya vyakula kwani niliambiwa  vinachangia kwa kiasi kikubwa kupata uchavu unaotoka sehemu yangu ya siri.Kutokana na hali hiyo sikuweza kushiriki tendo la ndoa,nilikuwa mnyonge.Siku moja  rafiki yangu Anna alikuja kuniona nyumbani kwangu.Katika mazungumzo yangu na yeye ilibidi nimwambie kitu kinachonisumbua kwa mda mrefu.

"Ukweli  nilipo maliza kumueleza Anna shida yangu, akanambia kuwa kuna Dr.Kiwanga ambaye anaweza kabisa kunisaidia maana huyo Dr.kiwanga amemsaidia kurudisha mpenzi wake ambaye walikuwa wameachana kwa kipindi cha mwaka mmoja,pia aliniambia huyo Dr.kiwanga anasaidia mtu hata akiwa mbali bila kufika ofisini kwake.Baada ya kujieleza kwa kirefu na kinipa matumaini kwamba naweza kupata msaada wa matibabu niliomba mawasiliano ya Dr.Kiwanga.

 "Hivyo nikapewa masiliano ya Dr.Kiwanga ambapo namba yake ya simu ni +254 769404965, barua pepe ni kiwangadoctors@gmail.com wakati Website ni www.kiwangadoctors.com .Hivyo kabla ya kwenda niliamua kufungua data ya simu yangu ,nikatembelea Website yao ndipo nilipopata taarifa zote kuhusu Dr.Kiwanga ambao wanatibu magonjwa mengi kwa kutumia miti shamba.

"Nikiwa katika ukarasa huo nikaona pia wanatibu na ugonjwa wa Sukari,pressure,kisonono,kaswende na TB.Nilipoona kuwa wanashughulika na Kisonono nilipiga simu kwa kiwangadoctors na simu yangu ilipokelewa.Kabla  sijapata matibabu niriulizwa maswali kadhaa kuhusu ugonjwa wangu kisha ndipo Dr.kiwanga akanipatia muongozo jinsi ntakavyoweza saidika.Nilifata masharti na maelezo yake na sasa mimi sina ugonjwa huo tena,sasa hivi nashiriki tendo la ndoa kama zamani,nimezaa mtoto hana shida yoyote.Asante kiwangadoctors".

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...