Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akisalimiana  na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Michael Bahan alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Februari 8, 2022

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Michael Bahan alipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Februari 8, 2022

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akiteta jambo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Michael Bahan (katikati) pamoja na Mkurugenzi  wa mawasiliano kampuni ya Sigara Tanzania , Ndg. Patricia Muhando (kulia) walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Februari 8, 2022

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Sigara Tanzania (TCC), Ndg. Michael Bahan (katikati) pamoja na Mkurugenzi  wa mawasiliano kampuni ya Sigara Tanzania, Ndg. Patricia Muhando walipomtembelea leo ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Februari 8, 2022

 

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...