
VICK Kamata akiimba wimbo maalum wa Uzinduzi wa Taasisi ya Mama Mariam Mwinyi, Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF) na Wimbo wa Wanawake na Maendeleo, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja.(kushoto kwake) Mke wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo, Mama Mariam Mwinyi akiwa na Mama Salma Kikwete wakijumuika na Wananchi katika uzinduzi huo uliofanyika jana 19-2-2022.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...