Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, nje ya jengo la Utawala Bungeni jijini Dodoma, Februari 2, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Masasi, Geofrey Mwambe, nje ya jengo la Bunge jijini Dodoma, Februari 2, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunge, nje ya jengo la Utawala Bungeni jijini Dodoma, Februari 2, 2022. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Handeni, Reuben Kwagilwa na Mbunge wa Mahenge Salim Hasham.

 
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...