Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA) kutoka Mkoa wa Singida walipomtembelea katika Ofisi yake iliyopo Mji wa Serikali, Mtumba Jijini Dodoma Februari 8, 2022. Kushoto ni Mwenyekiti wa SHIVYAWATA Mkoa wa Singida Bw. Khamis Ayoub na kulia ni Katibu wa SHIVYAWATA Mkoa wa Singida Bw. Ramadhani Mrisho.
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
(KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...