
Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mhe. Said Juma Mshana (kushoto) akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje, wa DRC, Mhe. Chritophe Lutundula Pen Apala jijini Kinshasa tarehe 30 Machi, 2022.

Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mhe. Said Juma Mshana akiwa katika picha pamoja na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje, wa DRC, Mhe. Chritophe Lutundula Pen Apala jijini Kinshasa tarehe 30 Machi, 2022.mara baada ya kuwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...