Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo (kulia) akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Dkt. Abdallah Juma Saadalla (Mabodi) mara baada ya kufika nyumbani kwake Chukwani,Unguja na kumfariji baada ya mtoto wake Rubani Ashraf Abdallah Juma kupata ajali ya na ndege nchini Comoro mwishoni mwa mwezi februari,2022. (Picha na CCM Makao Makuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...