Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein Katanga (katikati) akiwa  na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera Charles (kushoto) mara baada ya kuwasili katika Makao Makuu ya Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Njedengwa jijini Dodoma leo Machi 3,2022 kwaajili ya kuzindua Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) lililokua likifanyika katika Ukumbi wa Matokeo wa Tume. Kulia ni Mdhibiti na Mkaguzi Wakuu wa Hesabu za Serikali Charles Kichere.  (Picha na Mroki Mroki – NEC).

 

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hussein  Katanga akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Makao Makuu ya Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Njedengwa jijini Dodoma leo Machi 3,2022 kwaajili ya kuzindua Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) lililokua likifanyika katika Ukumbi wa Matokeo wa Tume. Katikati ni Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dk. Wilson Mahera Charles na  Kushoto ni Mdhibiti na Mkaguzi Wakuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere.  (Picha na Mroki Mroki – NEC).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...