Baadhi ya  wadau wa zao la kahawa mkoani Kagera wakimsikiliza  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza nao wakati wa mkutano na wadau wa zao hilo,  kwenye ukumbi wa Wanyama uliopo Kayanga, Karagwe, Machi 29, 2022 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa zao la kahawa mkoani Kagera katika ukumbi wa Wanyama uliopo Kayanga, Karagwe, Machi 29, 2022. Katikati ni Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe  na wa tatu kulia ni  Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof. Faustin Kamuzora.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Prof. Faustin Kamuzora, alipowasili katika uwanja wa ndege wa Bukoba akielekea Karagwe  kwenye mkutano wa wadau wa zao la kahawaMachi 29, 2022.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...