KE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation(ZMBF) Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa msaada wa Vyakula na Sheikh Ahmad Mohamed Al –Falasi Kiongozi wa Taasisi ya Ahmad Mohamed Al –Falasi,ikiwa ni miongoni mwa vifaa na vyakula vilivyotolewa msaada na Taasisi hiyo  kwa ajili ya Wananchi wenye mahitaji maalum,katika kipindi hichi cha kuelekea mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za (ZMBF) Migombani nje kidogo ya mji wa Zanzibar, .(Picha na Ikulu)
MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF)Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa msaada wa Dawa na Sheikh Ahmad Mohamed Al –Falasi Kiongozi wa Taasisi ya Ahmad Mohamed Al –Falasi,ikiwa ni miongoni mwa vifaa na vyakula vilivyotolewa msaada na Taasisi hiyo  kwa ajili ya Wananchi wenye mahitaji maalum,katika kipindi hichi cha kuelekea mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za (ZMBF) Migombani nje kidogo ya mji wa Zanzibar.(Picha na Ikulu)

MKE wa Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation(ZMBF) Mama Mariam Mwinyi akizungumza na Kiongozi wa Taasisi ya Ahmad Mohamed Al Falasi Sheikh.Ahmad Mohamed Al Falasi, baada ya kumalizika kwa hafla ya kukabidhi msaada wa Vyakula na Vifaa kwa ajili ya Wananchi wenye mahitaji maalum vilivyotolewa msaada na Taasisi hiyo katika kipindi hichi cha kuelekea mwezi Mtukufu wa Ramadhani, hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za (ZMBF) Migombani nje kidogo ya mji wa Zanzibar, .(Picha na Ikulu)

 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...